Home > Όροι > Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
Προσθήκη στο Γλωσσάρι μου

Τι θέλετε να πείτε;

Πρέπει να συνδεθείτε για να δημοσιεύσετε σε συζητήσεις.

Ορολογία Ειδήσεων

Featured Terms

Jonah Ondieki
  • 0

    Όροι

  • 0

    Γλωσσάρια

  • 1

    Οπαδοί

Κλάδος/Τομέας: Εκπαίδευση Category: Teaching

zao la kusoma

Ni tokeo la mchakato wa kusoma; yaaani kile mtu/mwanafuzi amesoma.

Συμβάλλων

Διακεκριμένα γλωσσάρια

My Favourite Terms

Κατηγορία: Languages   2 1 Όροι

Best Goalkeepers in Worldcup 2014

Κατηγορία: Ψυχαγωγία   1 9 Όροι